Lyrics:
Nitayainua macho yangu nitazame milima aah
Msaada wangu baba utatoka wapiii?
Msaada wangu katika bwana mbingu na nchini zakee
Asiuache mguu wako
ulaaniwe kwa kumtegemea mwanadamu
Ndugu yangu kwanii ulaaniwe kwa kumtegemea mwanadamu
Kijana mwenzangu kwanini ulaaniwe ,kwa kumtegemea mwanadamu
Msaada
hutaniacha
Sababu mimi ni mboni ya jicho lako
Oooh oh oh...
Wewe tu nguvu yangu, wewe tu furaha yangu
Wewe tu nguvu yangu, wewe tu furaha yangu
Msaada wa
Wewe ni EBENEZER
Wewe ni EBENEZER
Wewe ni EBENEZER
Msaada wa karibu
Wewe ni EBENEZER
Wewe ni EBENEZER
Wewe ni EBENEZER
Msaada wa karibu
EBENEZER
Ewe Bwana wa mabwana
Ndiwe tumaini letu
Katika safari yetu
Kwenye njia ya injili
Dhoruba yajapo vuma
Wewe kimbilio letu
Msaada wa karibu
Katika
Msaada msaada wako nautaka
Nisaidie yei yei yeiye
Kukupenda
Nisaidie yei yei yeiye
Kukupenda
Ooh no ooh
Nachojua
Wanijua
Mbaka vya ndani
Ata kama
Nimeelewa wewe mtetezi wangu
Kimbilio langu, mnennaji wangu
Msaada uonekanao wakati wote eeh
Sehemu zote
Hujawahi kamwe kuniacha aah, kunitenga eeh
ni kiboko yao.
Yesu ni ushindi wangu,
Ndiye Mwamba wangu.
Kimbilio, msaada wa maisha yangu.
Ndani yake hasa ninaishi kwa amani.
Hakika Yesu namthamini.
-MUNGU Wetu Hapangiwi
-eeeeh
-MUNGU Wetu huu
-MUNGU Wetu Hasaidiwi
-eeeeh
-MUNGU Wetu huu
-Hajawahi kuomba msaada Wala
Alikufa kwa ajili yangu
Niokoke
Nilipozama dhambi
Bila msaada
Neema zako kwangu
Zikaniweka huru
Ni nani aliye mwemwa kwangu
Asimame badala yangu
never let me goo!
Life ikiwa harder
Hata bila msaada Muombe mungu baba We usichoke
Piga ibada Yeye ni msaada
Toa Toa Toa Sadaka
Toa Toa Toa
Ile zaka
Toa
niongoze niongoze njiya yako
Timiza fadhili zako naitaji msaada
Mbele zangu ni mabonde Pande zote ni milima
Kimbiliyo langu ni wewe tu
Nasubiri vitendo vya
Hapa nilipo nimefika mwisho
Nimekwama sina msaada
Giza machozi, kuvunjika moyo
Naja kwako niguse pindo nipone
Hapa nilipo nimefika mwisho
Nimekwama
Alijitoa kwa ajili yangu Bwana
Akanifia msalabani msalabani
Bwana ni mchungaji wangu nimuogope nani
Bwana ndiye mlinzi wangu nimuhofu nani
Bwana ni msaada
Pekee Bwana ndiwe, pekee Bwana
Wewe, pekee Bwana kweli ndiwe
Pekee Bwana
Nainua macho yangu kwako Bwana
Usiye acha mguu wangu usogezwe
Msaada wangu
Nainuwa macho yangu
Natazama milimani
Msaada wangu watoka wapi
Msaada wangu Nikwako Bwana
Nakutegemea we, Nakutegemea we
Nakutegemea we, Nakutegemea
Kimbilio msaada wa karibu,
ni wewe ni wewe. ni wewe.
Nahitaji mkono wako
Niongozwe na wewe Bwana
Kimbilio msaada wa karibu,
ni wewe ni wewe. ni wewe.
yangu weee
(Ninangoja kwako)
Jibu la maisha yangu weee
(Nategemeya kwako)
Magoti ninapiga (Aaaaa) mikono ninainuwa (Aaa)
Nangoja nangoja msaada kwakooo
nakuhitaji
Ni wewe tu nguvu zangu
Ni wewe tu Msaada wangu
Sitatoka, Natamani uwepo wako
Bwana natamani
Bwana natamani
Bwana natamani
Uwepo wako
Bwana
milimani
Msaada wangu watoka wapi,
ni wapi?
Ni Kwako
Ni Kwako
'Lipokuwa Na shida, Mimi nilikuita
'Kasikia wito, Baba ulinijibu
Hata kama sifai, mbele zako
Kimbilio langu ni wewe
Nikeshe niki muomba nani
Msaada wangu ni wewe
Walitaka nipotee
Lakini uka simama na mimi
Walikesha kubeza mje
Mwenyewe ulinipa moyo
vita nyingi fanya hima kuni okoa
Nainua macho yangu pa milima
Msaada wangu utoke wapi
*Kimbilio langu msaada wangu
Tegemeo langu ni wewe Yesu
Sito
Inawezekana umeona
Tumaini kwako halipo tena
Na inawezekana umeomba
Umeonda mbingu zimenyamaza kimya
Na umetafuta msaada
Hujaona pa kukimbilia
Ila
Nimekosa tumaini,nimekosa msaada,
Msaada wangu watoka wapi eh baba,
Kupitia kwa moto nimepitia mie,
Kama ni gharama,nimelipa mie,
Kupitia kwa moto nimepitia
Discuss these msaada Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In