Song parody of

Inaniuma Sana

by Fresh Jumbe

Here's where you get creative! Use our cool song parody creator to make a totally new musical idea and lyrics for the Inaniuma Sana song by Fresh Jumbe.

Simply click on any word to get rhyming words suggestion to use instead of the original ones. You may also remove or alter entire lines if needed — when you're done save your work and share it with our community — have fun!

  • English (English)
  • Français (French)
  • Español (Spanish)

Hey! Uchumi tunao lakini tunaukalia tunaishia kuwa omba omba Inaniuma sana kila kukicha tunapiga kelele oh eti sisi ni masikini Lakini umasikini wetu ni wa kujitakia hakuna la maana tunalofanya kwa nchi yetu Tunakosa uongozi tu tunaweza kuwa Dubai ya Afrika ah Inaniuma sana kila kukicha tunapiga kelele oh sisi ni masikini Na umasikini wetu ni wa kujitakia hakuna la maana tunalofanya kwa nchi yetu Sisi si masikini sisi ni matajiri wa mali asili amini usiamini Kinachotutatiza ni uvivu wa fikra na ubinafsi amini usiamini Kila kitu siasa tamaa na ubinafsi ufisadi J P Sensey sema Mnatutia aibu aibu No! Nchi ndogo kama vile ya wajapanese hawana rasilimali yoyote ya asili Rasilimali zao ni watu wao na juhudi zao na uongozi bora Rasilimali zetu zinawanufaisha watu wachache tu walio na nguvu zao Halafu ni hao hao wanakwenda huku na kule kuomba omba omba oh saidia masikini Tunajidhalilisha tunajiaibisha tunajidharaulisha duniani kote tunakosa thamani Tunadharauliwa yah yah iih! Tunajifedhehesha tunajitukanisha tunajinyanyasisha wenyewe lazima tubadilike WaAfrika waTanzania waAfrika ya mashariki wakati umefika nguvu kwa wananchi Ah! Hatuna haki tena hatuna kauli tena hatuna msimamo tena ila tusikate tamaa Hatuna imani tena hatufuati maadili tena imekuwa pangu pakavu nitilie mchuzi nile nijiondokee Tunajidhalilisha tunajiaibisha tunajidharaulisha duniani kote tunakosa thamani Tunajifedhehesha tunajitukanisha tunajinyanyasisha wenyewe lazima tubadilike Tulisema na kusemaga ubepari ni unyama sasa tutasemaje ufisadi nao ni nini Tulinyang'anywa nchi yetu na wakoloni lakini leo nchi yetu tunaiuza wenyewe Hatuna haki tena hatuna kauli tena hatuna msimamo tena lakini tusikate tamaa Kilimanjaro tunayo Serengeti ipo madini yametapakaa na amani bado ipo Sisi si masikini sisi ni matajiri wa mali asili amini usiamini - Leoh Kinachotutatiza - Tuko ovyo ovyo - ni uvivu wa fikra na ubinafsi amini usiamini - Leoh Sisi si masikini - No no no - sisi ni matajiri wa mali asili amini usiamini Kinachotutatiza ni uvivu wa fikra na ubinafsi amini usiamini Madhabu kibbao, Alimasi kibbao, Tanzanite, Mbuga za wanyama, gesi na mafuta, makaa ya mawe No no no!

Done creating your parody?

Don't keep it to yourself! Save it now so you can share it with the rest of the world!

Watch the song video

Inaniuma Sana

8,272
12     2

Browse Lyrics.com

Quiz

Are you a music master?

»
Raissa Anggiani: "If you don't need me to, I'll be ______ ___"
A Missing you
B Seeing you
C Watching you
D Losing you

Free, no signup required:

Add to Chrome

Get instant explanation for any lyrics that hits you anywhere on the web!

Free, no signup required:

Add to Firefox

Get instant explanation for any acronym or abbreviation that hits you anywhere on the web!

Fresh Jumbe tracks

On Radio Right Now

Loading...

Powered by OnRad.io


Think you know music? Test your MusicIQ here!