Lyrics:
Kong
Tunakill Kama king Kong
Bila kipande hatuwatambui hizi pande
Na daily Niko wira nasaka nipate mkate
Nipate mkate waseme si ni wezi
Lakini ukweli ni
maman na Jovan,Bernard zagabe le gardien du temple}
CHORUS:
wanafiki walikua toka zamani,
hadi mkate walikula na Yesu uuuh uuuh ..
tuwaogope eeh {belle
Call me papi for the link up anyday
Nataka hio mkate
I be living in my head
Nikifikiria Pay
Ninachoma tu my weed
Daily ninasaka bread
(hook)
I be
Walipompata Yesu (wao) walimwambia tumekutafuta sana
(lakini) Yesu alijua mioyo yao akawaambia mnalotafuta sio neno la Mungu
(bali) bali ni mkate
Na utajua kwamba chapati ni mkate
Am gona do you a wichihanti nikupate
Na utajua kwangu sipendi nusu mkate
Nitageuza serikali nimlete yule halima
Yeye maziwa mimi mkate
Nilifumba kufumbua hayuko
Nisaidie
Bwana Radio
Kwa majina naitwa Isaya baba mwenye boma
Na nina ujumbe ningependa tuma
Kwa
Nusa hiyo kitu before uikate
Wekelea ata mate
Mimi si chezi ni nusu mkate
Mimi na wewe ni story za kale
I've been on top hata bila
the public
kimbogi
Watu elfu tano ndio skwodi
Mkate tano fish ni mbili watakula nini
Mpe Yesu ana style different
Analeta na kastyle different
Anaponya na kastyle
Wamepata kero ooh
Utu wake mali yangu
Ye chai mi mkate
Yaani nampa vyote
Vote vyote tamu yake My wangu
Ye ndo doctor wa Moyo wangu
Wa maradhi yote
Ananipa
ni tabaka mbili
Kwa smoothe ni ice, kwa sisi ni meal
Mkate na miss kwa doggy ni meal
Pesa legit kwa peddy ni dream
Na maji ya mtaro kwa wengine ni
different things
I have ideas
Slick
We're sippin maji when we're thirsty so we're clear
Yea
Na akitaka apakatwe leave him there
Yea
The kuku, no nusu mkate
mema
Sitalaumu, sitakufuru
Sasa nimejua kuwa
Wewe uliyenipa samaki
Ndiwe pia umetaka wakati mwingine Nipate nyoka
Tena nimejua kuwa wewe
Uliyenipa mkate
ufwatwe
Wenzako hatulembi
Nasaka mkate
Baka ubakwe
Umeme ukatwe
Ushikwe upaktwe
Uliwe na mate
Itikadi za ajabu kama hizo sina
Maneno mengi ya nini kama
pilipili
Inachosha zaidi ya mkate wa mbigiri
Maumivu ya penzi yanachoma rohoo
Na tena inatesa zaidi ya jela
ni chungu zaidi ya juice ya alovera
na uchungu
take over, take over
nitaenda viwango vya juu.
Ahadi za Mungu ni kweli tena ni amina ukiomba mkate hawezi kukupa jiwe
Ameniahidi atatimiza nami
oda ooh
Bado nazichezesha kete
Mkate kwa chai ni mteke
To to to to to
Mzuri kama hujazaliwa
Zikipanda nikumbatie
Kwakitanda nikumbatie
Oohmama
Wewe yesu
Yesuuu u kila kituu
Wewe ni amani ya maisha yangu
Wewe ni kila kitu kwangu
Wewe ni mkate wa uzima
U kila kituu baaba
Wewe ni maji ya uzima yesu
mate ka boflo mkate
Cheki baby girl ni bubble gum
Dawa ya balloon ni sindano
Nimewadunga nka mashindano
Mzuka kwa maspeaker
Blue band by by zero
Zero by
Maisha mzuri ndo nahitaji nguvu mwilini amani rohoni
Pesa mfukoni
Familiya
Mkate tumboni
Kazi yangu mzuri
Mashahiri utamu nizidi kuwapatia nyinyi
Najua
tutaparty
Leta maji ndiyo tukate
Na siwezi weka blue band kwa mkate
Si ni Sato
Hatujali
Tumendasu machupa mbalimbali
Akina Kxffy seti mali
Nimedishi dem wako
confused
Gave them stima I was flipping a fuse
Think I'm tripping I ain't spilling the juice
Mkate ikikuja I split with the crew
Even the odds I'm
jina lako litukuzwe
Baba uliye mbinguni jina lako litukuzwe
Baba uliye mbinguni jina lako litukuzwe
Tupe leo baba mkate wetu
Tusamehe makosa yetu
making the jams
We best in the city si chochi we doing it live I put that on gang
Keep it stable kwa mweza ni mkate kuvunja we do it and split with the fam
sala sikukosa mkate
Ibada yangu nikiimba sifa zikurudie wewe
Furaha yangu nikiimba sifa zote kwako wewe
Kwa Yale umetenda (sifa zote ni zako)
Na Yale
Discuss these mkate Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In