Lyrics:
kuisha
And I know you like diamond nimeona post yako
That’s the problem ndo tatizo lako, So kwa taarifa yako
Nimetoka kwa sonara ka ulifikiri nimesahau
Yesu mwanao Nimepata Neema
Nakushukuru mungu wa mbinguni
Ni kwa neema yako ninakula ninakunyua
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema yako
Wala si kwa ujanja
Mbona huyu amefia hapa, kwanini?
Mbona huyu amenyongwa, nashangaa
Vyumba vya wageni vimejaa wizi, kwanini?
Taarifa za habari hakuna mapya, nashangaa
Ooh Nkupe Taarifa Mwenzangu Uuh Uuh
Yamenifika Kwa Koo
We Mwanamke Mwenzangu Uuuh Uuh
Sema Oooh Oh Oh Nkupe
Taarifa Mwenzangu Uuh Uuh yamenifika Kwa
Ni kwa neema yako
Sisi tunaimbaa
Kulala na kuamkaa
Ni kwa uwezo wako yesu
Neema yako
Asante yesu
Ahmmmhhh yesu tchilobo
Ni kwa neema yako sisi
Asante Yesu kwaku nichagua
Katikati ya mataifa (ahaa)
Naku nifanya kuwa mwana wako
Siku stahili kuitwa Mwana wa Baba
Ila kwa neema yako
Na rehema
Oh yeeaaah
Baba Nichukue
Whoa whoa
Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Nichukue, nifunze, nataka kusoma,
Kwa shuke
sina
Nakuombea kwa Mungu Baba
Yabarikiwe malango yako
Uhuru, baba Uhuru
Rais Uhuru, yabarikiwe malango yako
Narudia Uhuru, tena Uhuru
Wewe Uhuru,
yako“Uwe mzima” hey hey
Kwa Jina la Yesu “Uwe mzima”
Ufunguliwe kwenye vifungo“Uwe mzima”
Kwa Jina la Yesu “Uwe mzima”
Utolewe kwenye mateso “Uwe mzima”
Kwa
mama yako usimnyoshe kidole
Mama ni mama hata kama huna msingi elimu ni mama huyo
Mama mama mama, uwezo wa kukulipa sina
Kwa taabu ulininyonyesha
Nishike mkono Bwana niongeze kwa njia
Ufalme wako niuone utakalo lifanyike
We ndiwe Mungu na mweza, Bwana mwenye enzi
Kwa nguvu zangu mi siwezi,
Mmmmmmh
Oyeee mmh
Kuna sometimes najiona single
Nimeachwa bila malipo
Moyo wangu unauma kwa mawazo mawazo
Life yangu bado haipo simple
Mara kwa
Nilipopata taarifa hizi kuu,
Nilipopata taarifa hizi kuu
Moyo wangu umeumia,
Moyo wangu umepasuka
Moyo wangu umetabukwa,
nimekosa amani
Majirani
yangu taarifa
Natoa sauti yangu taarifa
Huu ni wakati kuchanja taifa
Huu ni wakati kuchanja taifa
Kuna Kenya mbili..
Huyu ako kwa tracksuit anatembea
yasitoke machozi tulia ee jipe moyo
Maana kazi yako itapata thawabu
na kwa nguvu mpya
Nguvu mpya utainuliwa tena
Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
"mimi"
Ukiniamuru niende nitaenda "wala sitapinga"
Nitafanya kazi yako baba bila ulegevu kwa moyo nitafanya
Nitaenda mimi nitaenda "mimi"
Ukiniamuru niende
neema ya Mungu
Sina cha kujivunia mi sina cha kuringia
Yote mi ninayofanya ni kwa neema ya Mungu
Asante Baba wa milele kwa hiyo neema yako
Ulonipa ewe
ndani yako
Eeh Bwana ninakushukuru
Kwa urithi wangu ndani yako
Bwana ni tayari kwa kazi yako
Ukiniita mara nitaitika
Upendako Bwana unitume
Nitakwenda
Ju hii ni knock Kwa urban doors, line ya Johny Muindi RIP
Tukifa taarifa iskose kua death of a great MC
Au kifo cha bingwa ikiandikwa Micshariki Na
yako, wende lote Zena wangu
Siwezi kuua mtu mama, dhambi kwa Mungu Baba-yo
Siwezi kuua mtu, mama
Unapenda kuvaa, mimi sina namna, oh Fatou wee
Unapenda
yako oo
Matatizo yako si ya kuua
Bali eeeh
Bali ni kwa utukufu wake Baba
Shida zako
Shida zako si za mauti
Baaali eeh
Bali ni kwa utukufu wake Baba
Na
mimi?
Pole kaka kipenzi cha roho yangue
Ahadi yetu haijaweza vunjika
Fika nyumbani kwa wazazi wangue
Ooh usivunje ahadi, uliyoniahidi dada
(Poa kaka mimi
(Fika nyumbani kwa wazazi wangu we)
Ooh usivunje ahadi, uliyoniahidi dada
(Poa kaka mimi ni bado msichana)
(Tena bado sijamaliza masomo)
(Nifanye nini
Hata nikila pasipo neno lako sishibi
Neema yako, ila kwa neema yako
Upendo wako, kwa upendo wako
Rehema zako zimeniimarisha tena
Neema yako, ila kwa
Discuss these Kwa Taarifa Yako Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In