Mtaa (feat. Scar Mkadinali & B.A.D.Y)
Adrian Loci
The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com
Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo madoo zitoke saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo machain zifuate saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Money the motivation hapa nje Toka mtaa a hell of a ninja Nimeleta rungu kwa rap, sitaki wajunior Shida nimerun out of rubbers Huku mtaa si hu lead by example Pussy niggas huanga pia tuna sample Cheza na mimi nakata kichwa Nani anatesa nikate ? Ka huleti keroma kwa meza usikae kudishi Na hustle ni ka hamna kitu kwa dish Lazima ni stack mabunda nifuate nivunje sheria haijalishi kitu Hao makarau ndo mikono refu, mwizi akapewa bunduki Ati hadi kijana ashafika 18 ashakuwa mwizi aisee So mi najipanga lately naamkanga fiti nikimedi asubuhi Amen Mbogi imeitana mi ntatokea quickly penye nia pana njia Amen Mi hufinness design ya Odozze baby ka ni chain nimebeba za Mtaa Mbona nikose pesa na naweza gamble zikikam nanunua hii mtaa, Loci Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo madoo usitoke saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo machain zifuate saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Mi na boyz wangu tuko njaa Hakuna choice babu tunakuvaa Unaforce sana unaburn Mi and the whole Army iko kwangu incase unakam yah yah Nlidunga macuffs G before nidungwe macufling Kibera nimevaa sling mi tu ndo celeb Kenya anaweza panda mat D Addicted to hustling mi huanga ngati keja siwekangi masti Ngunga ndo huanga marashi ndo waninotice nikiingia kwa basi Nina boyz ukipitia atakuwasha unavutishwa mabongo tuskizia mashash Na usibonge ghasia takataka na mbona nkitokea wanaingia kwa vichaka Si huvurugana na nguvu za giza napiga mbu rungu ka una swali uliza Si humumunyanga wasupa kadaily anapigwa lugha anakuruka anarudi na mimba Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo madoo zitoke saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Mi na boyz wangu wa mtaa yah Si hu freestyle palipo cash yah Rusha dice na hizo machain zifuate saisai Toka teke hao masanse wakifika Wakizidi rudia Mi na boys wangu dabo tatu Tukifika Mtaa watu wanafyatu Buda unapenda kulia na uko base Unakaa tu We buda tulia utapigwa ma one two. Vile mi na come through Nafanya bado mi na undo. Vile mi naburn dope nazoza venye mi na earn dough Wananiita John Doe,sipatikani kwa mitambo Ni Bady toka kitambo Nawamurdernga tu Kama Rambo Uhh Na nahope mnanipata Take your girl then I put her on a platter Wacha vile mkisii ntaikata Leo ni Mimi na makaka Nina Madada na madawa Nimekam nimecome na Hii power Nimecome na Madoba Kama kawa sawa hii verse nshainawa
Watch: New Singing Lesson Videos Can Make Anyone A Great Singer
Citation
Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:
Style:MLAChicagoAPA
"Mtaa (feat. Scar Mkadinali & B.A.D.Y) Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 24 May 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/6120210/Adrian+Loci/Mtaa+%28feat.+Scar+Mkadinali+%26+B.A.D.Y%29>.
Discuss the Mtaa (feat. Scar Mkadinali & B.A.D.Y) Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In