Song parody of
Nanenepa
by Appy
Here's where you get creative! Use our cool song parody creator to make a totally new musical idea and lyrics for the Nanenepa song by Appy.
Simply click on any word to get rhyming words suggestion to use instead of the original ones. You may also remove or alter entire lines if needed — when you're done save your work and share it with our community — have fun!
Acha nikupe tenzi yamenifika mahaba
Kufurukuta siwezi yamenishika hapa
Nikuonapo we
Sio siri moyo wangu Wanidunda kitenesi
Moyo wanidunda dunda dunda daunda aah
Adamu ukimenya tunda tunda tunda tunda aah
Penzi ni siri ya wawili aaaah
Nadhiri ishamiri aaaah
Baby
Penzi kamari Unakula unaliwa
Mzigo we ndio Bandari mwenzako nimenogewa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Waaa nauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Au basi nikupe moyo wangu
Au basi nikupe akili yangu
Au basi
Au basi
Ah wapi we pekee nakupatia nafasi
Niishi nawe bila wasi
Oooh wasi
Nakama inawauma tuwape panado
Oooh panado
Usiniache solo solo solo
Mimi kwako kolo oh kolo kolo
Penzi ni siri ya wawili aaaah
Nadhiri ishamiri aaaah
Baby
Penzi kamari Unakula unaliwa
Mzigo we ndio Bandari mwenzako nimenogewa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Waaa nauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Acha nikupe tenzi yamenifika mahaba
Kufurukuta siwezi yamenishika hapa
Nikuonapo we
Sio siri moyo wangu Wanidunda kitenesi
Moyo wanidunda dunda dunda daunda aah
Adamu ukimenya tunda tunda tunda tunda aah
Penzi ni siri ya wawili aaaah
Nadhiri ishamiri aaaah
Baby
Penzi kamari Unakula unaliwa
Mzigo we ndio Bandari mwenzako nimenogewa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Waaa nauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Au basi nikupe moyo wangu
Au basi nikupe akili yangu
Au basi
Au basi
Ah wapi we pekee nakupatia nafasi
Niishi nawe bila wasi
Oooh wasi
Nakama inawauma tuwape panado
Oooh panado
Usiniache solo solo solo
Mimi kwako kolo oh kolo kolo
Penzi ni siri ya wawili aaaah
Nadhiri ishamiri aaaah
Baby
Penzi kamari Unakula unaliwa
Mzigo we ndio Bandari mwenzako nimenogewa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Wanauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa
Waaa nauliza sana nanenepa nepa
Mimi kwako nanenepa nepa