Mama
A.G.E Tanzania
Watch: New Singing Lesson Videos Can Make Anyone A Great Singer
Yeah It dedicated to our beloved mama out there Age anha Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama Let me take a pause Ninamengi ya kusema Nisipo yaongea hata mawe yata nena Dude am making noise Kwa kina mama jasiri Miezi tisa tumboni kwake kaiweka siri Kanizaa kwa uchungu ni mwema mbele za mungu Na alivumilia majungu na uchungu wa kisu cha mzungu Sa nikupe nini Kwa wema ulio nionesha Nilipokosa hukunitupa ulinishika ukani nyonyesha Nilipe nini Kilingane na thamani ya upendo wako Na siamini Ni mwema na nimefata nyayo zako Toka chini Nimekua nikiskiza neno lako So bado nitabaki milele ntabaki upande wako Naput my hands up Mwano nipo hofu ya nini Naput ma hands up Staki uteseke niamini Naput ma hands up Mwano nipo hofu ya nini Naput ma hands up Staki uteseke niamini mama Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama Expensive mind yeah Kipi ntakupa kama heshima ya ulichotupa Heshima nilokupa jana bado haitoshi so naogopa Najua nilideka sana chakulipa sina mama Naomba uzima uishi sana miaka buku your the god mama So kwa upendo miaka nenda mi umenilea Upendo kwa vitendo sina jipya tuombe uzima Mama time nikilala Hukulala mbali na mimi Hukunitupa kwa jalala hukuniacha mbali na dini Mama nitasema nini labda hilo deni la mimi Miaka saba hata sabini ntaishi sema your the best Haijalishi jana juzi where we were in mother i swear Ntapambana ntazisaka up to there yeah I can't pay that love infact i know i have to She has a great heart when am wrong She just forgive god bless Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama Mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama napata hisia kila nikimkumbuka Mama mama mama mama mama mama Thank ma for the blessing To be here is like miracle Unanipa hope nikiwa na stress Muhimu kwangu kama spinal cord Upendo wako sidefine I love you mama i don't lie Kwenye giza umenipa light Mungu akupe more life Unapambana mchana usiku mama hustler Umenilea nimekua mama master Mapenzi yako hayapimiki yako maximum Unaanza wewe wengine they are next after Mwanamke shupavu unaedeserve a crown Maumivu we ni mkomavu You don't let me down Jana leo mpka kesho Kwangu bado we ni special Yatakwisha tu mateso Don't worry about that Futa chozi ipo kesho Maumivu yote just let it go My dear mama that day coming Utaishi kama uko statehouse Furaha yako kwangu muhimu Umenifunza kwangu mwalimu Upendo wako kweli adimu Na kukusifu itanilazimu Having good life that's my dream I'm your bodyguard ntaenda jim Ntakulinda mwanzo mwisho kama president Siku zote uko na me mom Acha niimbe kwa ajili yako mom Ntakupenda mwanzo mwisho mom Age we love our moms I'm sing for mama
Watch: New Singing Lesson Videos Can Make Anyone A Great Singer
Citation
Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:
Style:MLAChicagoAPA
"Mama Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 23 Apr. 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/7614601/A.G.E+Tanzania/Mama>.
Discuss the Mama Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In